Wizara ya michezo itafadhili safari ya wachezaji wa raga ya wachezaji saba kila upande wanawake na wanaume kushiriki msururu wa raga duniani mikondo ya Dubai na Capetown. Hii ni baada ya aibu kuligubika taifa wakati timu ya taifa ya shujaa kuanzisha mchakato mitandaoni kuchangisha pesa za kuwawezesha kuliwakilisha taifa.
These ministries are pathetic. Then other government types demand for higher salaries. Dirty Animals.